in , ,

Patrice Evra ajiunga Juventus

 

Nahodha Msaidizi wa Manchester United, Patrice Evra ameamua kuachana na timu hiyo na kujiunga na Juventus ya Italia.

Evra (33) ambaye ni beki wa kushoto aliyesaini mkataba mpya na Old Trafford majuzi, ameamua kujiunga na mabingwa hao wa Italia na atashiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya, kwani Man U hawashiriki chochote nje ya England msimu huu.

Mchezaji huyo anaondoka huku United wakiwa wameshamsajili beki chipukizi Luke Shaw kutoka Southampton kwa thamani ya pauni milioni 30.

Evra alikuwa mmoja wa wachezaji waliotishiwa kupigwa panga United lakini Ryan Giggs alipendekeza kwamba abaki pamoja na Rio Ferdinand. Hata hivyo mkataba wa Ferdinand haukuhuisha isipokuwa wa Evra tu.

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Scolari aachia ngazi

‘Jaja’ wa Yanga huyu hapa