in

Wawili waenda kucheza Canada

Wachezaji wawili wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Nadir  Haroub Canavaro anaechezea mabingwa wa ligi kuu Tnzania bara YANGA na NIZAR KHALFAN pia anaechezea timu ya ligi kuu ya Moro United wameondoka leo Alhamis july pili saa moja asubuhi kwenda nchini Canada kucheza soka la kulipwa kwenye timu ya ligi daraja la kwanza ya VANCOUVER  WHITE CAPS

Akizungumza na tovuti hii  anaeshughulikia swala la uhamisho wa wacheaji hao RAHIM ZAMUNDA KANGEZI amesema wachezaji hao katika safari yao watapitia LONDON – UINGEREZA ili kuweza kupata ushauri wa soka la kimataifa na kesho jioni wataondoka kwenda CANADA

KANGEZI amesema tofauti na hapo awali ambapo walitakiwa kwenda kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa kwenye timu hiyo ila hivi sasa watasajiliwa moja kwa moja na timu hiyo  kama wakifanikiwa kufuzu vipimo vya Afya zao

Kabla ya kuondoka hapa nchini CANAVARO na NIZAR hapo jana waliongea na kocha wa timu hiyoa ya VANCOUVER  WHITE CAPS pamoja na meneja mkuu wake ambao wamewahaidi kuwajili moja kwa moja baada ya kuvutiwa na vipaji vyao baada ya kuwafanyia utafiki wa kina

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

La Liga – Benzema to join Real Madrid

Wimbledon – Venus romps into all-Williams final