Menu
in , , ,

Arsenal, Chelsea ngoma nzito

Mchezo ulikuwa doro..

 

Arsenal na Chelsea wamegawana pointi moja moja katika mechi muhimu na kuwaacha Liverpool kileleni.

Katika mechi hiyo ngumu katika dimba la Emirates, Arsenal walicheza vyema na kunyimwa penati baada ya Theo Walcott kuchezewa rafu.

Kadhalika Cesar Azpilicueta alifanikiwa kuokoa bao lililoelekezwa kimiani na Bacary Sagna kwa kichwa.

Kwa matokeo hayo, Arsenal wanakuwa katika nafasi ya pili nyuma ya Liverpool licha ya kuwa wamefungana kwa pointi.

Man City wapo nafasi ya tatu kwa pointi 35 wakati Chelsea na Everton wanazo 34 kila mmoja.

Mkiani mwa ligi wapo Crystal Palace na fulham wenye pointi 13 kila mmoja na Sunderland wenye pointi 10.

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

Leave a Reply

Exit mobile version