in , , ,

West Ham nje Europa

 

*Southampton wasonga mbele

 

West Ham wa England wametupwa nje ya Ligi ya Europa mapema baada ya kuchapwa 2-1 na timu ya Romania, Astra Giurgiu kwenye mechi ya mkondo wa tatu wa kufuzu.

 

Kwa uwiano West Ham wamefungwa 4-3 baada ya kwenye mchezo wa kwanza kuchezea uongozi wao wa mabao mawili kwa bila.

 

Kichapo hicho kimehitimisha kampeni iliyokuwa ikifanywa na kocha mpya, Slaven Bilic. West Ham walifuzu kwa sababu ya kuwa moja ya timu zenye nidhamu zaidi.

 

Katika mechi nyingine, Southampton wamefanikiwa kuvuka hatua kwa mabao ya Graziano Pelle na Sadio Mane dhidi ya Vitesse Arnhem.

 

Saints walikuwa wakicheza kwa mara ya kwanza tangu walipocheza kwenye mechi za Uefa 2003 ambapo walifika hatua za makundi.

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Messi amkwida mchezaji

VIDAL ANAFUATA NYAYO ZA FABREGAS