Menu
in

Hivi kweli unafikiri nini mpaka unakunya nje ya ofisi za watu..tena ulaya..London!

Leo asubuhi ilikuwa ni zamu yangu kufungua ofisi mapema ili wafanya usafi waanze kazi(6:00am). Cha ajabu ni kukuta KIMBA hili nje ya mlango mkuu wa kuingilia kwa ofisi, nikajiuliza labda ni Ng’ombe au Punda, lakini hapa London mifugo haitembei mitaani kama huko nyumbani..kwa vyovyote vile huyu ni binadamu!, kikubwa zaidi ni ukubwa wa hili kimba yaani inasikitisha sana..lakini habari nzuri aliyefanya hivi ni raia tena sio kama mimi..yaani ustaarabu ni jinsi ulivyojifunza toka kwenu na sio unakoishi!

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

Leave a Reply

Exit mobile version