Menu
in , , ,

CHILE WAWALIZA AUSTRALIA

 

Katika matokeo ya mechi ya usiku wa Ijumaa hii, Chile waliwaliza Australia kwa kuwafunga mabao  3-1.

ushindi wa Chile uliokuja baada ya Uholanzi kuwafunga Hispania 5-1 kwenye mechi ya awali umewatupa mabingwa watetezi Hispania katika nafasi ya mwisho.
Itabidi waamke katika mechi zinazofuata iwapo watataka kurejesha heshima yao na kufuzu kwa hatua za mtoano.

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

Leave a Reply

Exit mobile version