in

Twiga Stars kwenda Zimbabwe kesho

Timu ya soka ya Tanzania, Twiga Stars, inatarajia kuondoka nchini kesho alfajiri kuelekea jijini Harare, Zimbabwe, kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kanda ya Kusini mwa Jangwa la Sahara (COSAFA) ambayo yanatarajiwa kuanza kufanyika Jumamosi jijini humo.

Akizungumza jana, Afisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura, alisema kuwa msafara wa timu hiyo utakuwa na watu 26 ambapo wachezaji ni 19 pamoja na benchi la ufundi linaloongozwa na Kocha mkuu, Charles Boniface anayesaidiwa na Nasra Mohammed, kutoka Zanzibar.

 

Wambura alisema kuwa mkuu wa msafara wa timu hiyo ni Mwenyekiti wa Chama cha Soka cha Wanawake Tanzania (TWFA), Lina Mhando, ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF.

CHANZO: NIPASHE

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Cole launches soccer players talent scouting

Twiga Stars vs Botswana in Harare