in

TBF kufanya kozi Tanzania

Tunategemea kufanya basketball coaching course na mkufunzi toka Nairobi, kozi hii inatambuliwa na FIBA Africa. Itafanyika June 23-29, 2009.

Makocha wote wanaotaka  kufanya kozi hii ambayo itajkua pia na mtihani na watakaopasi watatambuliwa na FIBA Africa wajiandikishe mapema maana nafasi ni chache na makocha wote watajigharamia kila kitu.

July 27 – 2August

Klabu bingwa Zone 5 itafanyika Kampala Uganda na timu za Jeshi (ABC na JKT) zimethibitisha kushiriki mashindano haya, nchi zingine katika ukanda huu ni Uganda, Kenya, Burundi, Rwanda, Eritrea, Sudan, Ethiopia, Somalia.

August

Ligi ya Muungano inategemewa kufanyika Dsm, TBf inasubiri majina ya timu nne za wanawake na wanaume toka zanzibar. Timu za bara zitazowakilisha mashindano haya ni ABC, JKT, Mzinga na Dodoma spurs na kwa wanawake ni Jeshi stars, JKT queens na Cargo ladies.

October

Taifa cup na uchaguzi mkuu wa TBF, bado hatujateua mkoa wa kufanyikia mashindano hayo

Tunategemea kuwa pia na clinic ya vijana chini ya miaka 16 itakayofanyikia pia Dsm kwenye uwanja wa International school masaki kati ya tarehe 19-23 October na mkufunzi toka spain

lawrence Cheyo

Katibu mkuu TBF

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Bajeti: Wadau wadai serikali ndio mchawi wa michezo nchini

Meeting with friends around London