Mkurugenzi wa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Kees Verbeek akimkabidhi Mjumbe wa Kamati ya Chama cha Gofu Tanzania (TGU), Meja Samwel Hagu, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. mil. 15 za udhamini wa mashindano ya gofu ya kumbukumbu ya Nyerere ‘NMB Nyerere Masters Golf Tournament’ katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo. Mashindano hayo yatakayoshirikisha wachezaji 100 kutoka mikoa mbalimbali nchini yatafanyika kesho na kesho kutwa kwenye viwanja vya Gymkhana Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Mawasiliano wa NMB, Josephine Kulwa
I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.