Chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania- TASWA, kimemchagua mchezaji Judo Masoud Amour wa Zanzibar kuwa mwanamichezo bora wa mwezi Februari mwaka huu.
Uchaguzi wa mwanamichezo huo umefanyika jijini Dar es Salaam ambapo katibu msaidizi wa TASWA, Amir Mhando amesema Masoud ametwaa nafasi hiyo baada ya kupata alama 101 na kuwashinda wenzake Faraja Malaki aliyepata alama 76 na Semeni Mlanzi aliyepata alama 75.
I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.