in

Hivi unafikiria nini mpaka Kunya mlangoni kwa ofisi za watu?

Leo asubuhi nilitakiwa kufungua ofisi mapema ili wafagiaji waanze usafi na hii ni moja kati ya kazi zangu tatu ninazofanya hapa London.Cha ajabu ni kukutana na hili limavi likubwa mlangoni,Kama tujuavyo huku hakuna Ng’ombe au Punda wanaochunga au kukatiza barabara.moja kwa moja huyu ni binadamu mwenye akili japo kinachonishangaza ni ukubwa Wa hili Limavi.katika kufuatilia ili kujua ni aina gani ya binadamu{CCTV} huwezi amini,hakuwa mmatumbi!.kweli tuko ulaya!

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Yanga yawafunga maafande wa Polisi Dodoma

Coach names Stars` line-up