in

Hatimaye Umitashumta yaanza kibaha!

Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye michezo ya umitashumta iliyoanza tarehe 14/12/2010 katika Kituo cha Elimu Kibaha.Ufunguzi ulifanywa na Waziri wa Nchi TAMISEMI MH George Mkuchika (Mb).Waliohudhuria ni pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh Shukuru Kawambwa.(Mb)Mwingine aliyehudhuria ni Naibu Waziri Tamisemi (Elimu) Mh Kassim Majaliwa (Mb).

Kwa mwaka huu mikoa 10 ndiyo itakayoshiriki. Mikoa hiyo ni Singida, Dodoma, Tanga, Iringa, Arusha, Morogoro, Pwani, Dar es salaam, Mbeya  na Kilimanjaro. Michezo iliyoshirikishwa mwaka huu ni mitatu ambayo ni Mpira wa miguu,Netball na Riadha.

Michezo inatazamiwa kufungwa tarehe 21/12/2010.

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

ZFA incapable to contain Hall

unywaji baada ya kazi