in

Hatimaye Umitashumta yaanza kibaha!

Baada ya kimya cha muda mrefu hatimaye michezo ya umitashumta iliyoanza tarehe 14/12/2010 katika Kituo cha Elimu Kibaha.Ufunguzi ulifanywa na Waziri wa Nchi TAMISEMI MH George Mkuchika (Mb).Waliohudhuria ni pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mh Shukuru Kawambwa.(Mb)Mwingine aliyehudhuria ni Naibu Waziri Tamisemi (Elimu) Mh Kassim Majaliwa (Mb).

Kwa mwaka huu mikoa 10 ndiyo itakayoshiriki. Mikoa hiyo ni Singida, Dodoma, Tanga, Iringa, Arusha, Morogoro, Pwani, Dar es salaam, Mbeya  na Kilimanjaro. Michezo iliyoshirikishwa mwaka huu ni mitatu ambayo ni Mpira wa miguu,Netball na Riadha.

Michezo inatazamiwa kufungwa tarehe 21/12/2010.

Report

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

ZFA incapable to contain Hall

unywaji baada ya kazi