in , , ,

Ufaransa wawacharukia Uswisi

*Wawachabanga 5-2

Timu ya Taifa ya Ufaransa imeonesha dhamiri ya kufanya vyema kwenye michuano hii kwa kuwachakaza Uswisi 5-2.

Ufaransa ambao mwaka 2010 hawakushinda hata mechi moja na kutolewa kwenye hatua ya mwanzo, walionesha mchezo mzuri, wakiutawala hasa kipindi cha kwanza na mwanzoni mwa kipindi cha pili.

Ufaransa walipata mabao yao kupitia wa Olivier Giroud, Blaise Matuidi, Mousa Sissoko, Karim Benzema na Mathieu Valbuena.

Uswisi walikumbuka shuka kukiwa kumekucha, ambapo walipata mabao yao mawili dakika ya 81 kupitia kwa blerim Dzemaili na dakika ya 87 kwa bao la Granit Xhaka. Benzema alikosa penati baada ya kuchezewa rafu, mkwaju ambao uliokolewa na kipa.

Report

Written by Israel Saria

I have been involved with sports in Tanzania as a Volleyball Coach for many years—and was a Tanzania Amateur Volleyball Association (TAVA) leader. I studied sports management at Leipzig University in Germany and understand the science behind sports. That led me to work as a football pundit, with the BBC ( Swahili service) in London. That experience and exposure took me to covering the 2010, World Cup in South Africa. This provided me with a great insight into international level football commentary and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics.I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany, Italy, Belgium, Ireland, France, Kenya etc, and visited almost all of the key football stadiums across United Kingdom, and Europe.

What do you think?

71 Points
Upvote Downvote

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Loading…

0

Arsenal wamwita Ivanovic

Yaya, Kolo Toure wafiwa