Menu
in

Mchezaji Judo Masoud Amour wa Zanzibar amechaguliwa kuwa mwanamichezo bora

Chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania- TASWA, kimemchagua mchezaji Judo Masoud Amour wa Zanzibar kuwa mwanamichezo bora wa mwezi Februari mwaka huu.

Uchaguzi wa mwanamichezo huo umefanyika jijini Dar es Salaam ambapo katibu msaidizi wa TASWA, Amir Mhando amesema Masoud ametwaa nafasi hiyo baada ya kupata alama 101 na kuwashinda wenzake Faraja Malaki aliyepata alama 76 na Semeni Mlanzi aliyepata alama 75.

Written by Israel Saria

For the last 20 years I have been working as a football pundit. This experience has provided me with a very useful insight into football and the opportunity to carry out extensive research into the game including its players, the stadiums, the rules and tactics and I have also been grateful to meet a wide range of people connected to football in the UK, Tanzania, Germany .....

Leave a Reply

Exit mobile version